Quote by Enock Maregesi : “Maarifa hupunguza woga”

Maarifa hupunguza woga. – Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi : “Shetani ni mjanja sana Anajua”

Shetani ni mjanja sana. Anajua bila elimu hataweza kutawala dunia, baada ya mpango wa Mungu kukamilika. Anajua, mtu akipata elimu ni rahisi sana kujua kama Shetani hayupo. Hivyo Shetani atatimiza malengo yake bila watu kujua. – Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi : “Ukiwa na elimu huna sababu”

Ukiwa na elimu huna sababu ya kuwa maskini. – Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi : “Ukiwa karibu na Mungu utakuwa”

Ukiwa karibu na Mungu utakuwa na maarifa kuliko profesa, Mungu ana maarifa kuliko profesa. – Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi : “Ukiwaza kitu kwa dakika moja”

Ukiwaza kitu kwa dakika moja na sekunde nane – huu ni utafiti wangu tu – hicho kitu kitaanza kujiumba kwa ajili yako sehemu fulani ulimwenguni. Ukiamini kwa kiasi cha kutosha kwamba umekipata, utakipata. Haijalishi kama una elimu au huna. Hiyo ndiyo siri kubwa zaidi ya utajiri kuliko zote duniani – MAWAZO YAKO. – Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi : “Tunapenda kuamini kwa sababu kuamini”

Tunapenda kuamini kwa sababu kuamini hurahisisha mambo… Usiamini. Jua. – Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi : “Elimu ni ufunguo wa maisha”

Elimu ni ufunguo wa maisha lakini wengine funguo zao zina kutu! – Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi : “Shetani lengo lake ni kutawala”

Shetani lengo lake ni kutawala dunia. Huwezi kutawala dunia bila elimu! – Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi : “Maarifa ni mbegu ya mabadiliko”

Maarifa ni mbegu ya mabadiliko. – Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi : “There are many internal secrets”

There are many internal secrets that make a person continue to succeed, and there are many external secrets that make a person continue to hide their secrets. Internal secrets are true secrets, while the outer secrets are false secrets, aimed at hiding the truth. However, the secret to success is hard work, knowledge and secrecy. […]